Wednesday, May 21, 2014
DENGUE YADAIWA KUGEUKA MARADI UBUNGO
Do you like this story?
Hatua ya upulizaji wa dawa ya mbu katika mabasi imezua
mgawanyiko miongoni mwa wadai baada ya
kudaiwa kugeuza mradi wa wachache kutokana na kiwango kikubwa cha fedha
kinachotozwa.
Hatua hiyo ni utekelezaji wa agizo la mkuu wa mko wa
dare s salaam said meck sadiki kwa ajili ya kudhibiti ueneaji wa mbu wanaobeba vimelea vya ugonjwa wa homa ya
dengue kutoka jijini humo kwenda mkoani.
Tuhuma hizo zimetolewa na baadhi ya wamiliki wa mabasi
yanaodai hawajashirikishwa katika utekelezaji wa mpango huo hasa kuhusu gharama
y ash 65,000 zinazotozwa kwa kila basi.
Sakata hilo lilianza jana alfajiri kwa baadhi ya
mabasi yaliyokuwa yameanza safari zao
bila kupulizwa dawa kurudishwa ndani ya stendi ili kutekelza agizo hilo.
Abiria walikuwa wanapatwa na usumbufu mkubwa baada ya mabasi yao kuzuiwa kuondoka
kwa sababu hayakuwa ymepulizwa dawa na
kubandikwa stika za mamlaka ya usafirishani majini na nchi kavu (Sumatra) pia
kulikuwa na madi kuwa baadhi ya mabasi yalilipa fedha sh 65,000 na kununua
stika hizo kasha kuendelea na safari zao bila kupulizwa dawa tuhuma ambazo
meneja wa lesini wa Sumatra , leo ngowi amesema hana taarifa nazo.
Amesema hata Taboa(chama cha wamiliki wa mabasi) ambao
wanadiwa wameshirikishwa siyo kweli na kama hili limefanyika ni kwa viongozi
wachache wa umoja huo.
Meneja ngowi wa Sumatra amesema baada ya majadiliano
baina yake na utawala wa stendi hiyo na wadau wakiwamo taboa wameamua kutoa
siku zaidi hadi ijumaa iwe mwisho na
ambaye atakuwa hajapuliza dawa hataruhusiwa kusafirisha abiria.
Alisema sh 65,000 siyo kaisi kikubwa na kuwa katika
kipindi hicho wenye mabasi watakuwa wanategemea mamilioni ya fedha hivyo ni
vyema wakati agizo hilo ili kusiaidia kuzuia sambamba kwa homa hiyo mkoani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “DENGUE YADAIWA KUGEUKA MARADI UBUNGO”
Post a Comment