Wednesday, May 21, 2014
NUNDU: VIGOGO SERIKALINI WAPEWA NYUMBA NA WAGENI
Do you like this story?
Waziri wa zamani wa uchukuzi omar nundu jana aliikalia
kooni serikali kwa kuwakumbatia wageni na kuibua madai kuwa baadhi ya vigogo wa
seriali walipewa nyumba wakati wa kubinafsisha viwanda nchini.
Nundu ambaye ni mbunge wa tanga mjini (CCM) alitoa
kauli hiyo jana jioni alipokuwa akichangia
bajeti ya waziri wa viwanda na
biashara, DK Abdallah kigoda kwa mwaka 2014/15 tax hliday (kipindi maalumu cha
kusamehewa kodi) ziondolewe maana siyo tunasema maneno tu umefika wakati sasa maneno yakae kando
vitendo vifanye kazi watu wamechukua viwanda kwa ajili ya kuvidhoofisha tu alisema.
Tanga kule vimejaa chungu nzima(viwanda) na
tunapoongelea maji tu tunayajua mliyoyafanya . vipomlivyopewa kutoka viwanda
vile ondoeni mawazo hayo msitupeleke mpaka
tukasema mambo haya humu ndani amesema nundu na kuongeza:
Nundu amesema uchumi duniani kote unategemea viwanda
na kwamba pamoja na wizara kueleza mambo mengi ukweli ni kwamba hayatoshi na
kuna mengi ya kufanya.
Utajiri wa magadi
Awali akiwasilisha bajeti yake waziri wa viwanda na
biashara DK Abdallah kigoda lisem uzlaishaji wa magadi soda utaanza kuliingizia taifa doda 320
milioni nza marekani(sh 520 bilioni) kwa mwaka kuanzia mwaka 2016/17.
Alisema mradi huo unaoendeshwa na shirika la maendeleo
ya taifa (NDC) unatarajia kuzalisha tani milioni moja za madini hayo na bidhaa
nyingine za chumvi kwa mwaka. Alisema
tafiti kuhusu wingi na ubora wa
rasilimali ya magadi soda zilikamilika mwaka 2013/14 na kiasi cha tani bilioni
4,68 za magadi ambazo huongezeka kwa
mita za uajzo milioni 1.86 ziligunduliwa.
Dk kigoda alisema kiasi hicho kiligunduliwa ktika
bonge la engaruka na jitihada za kumtafuta mtaalamu mshauri zimeanza.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “NUNDU: VIGOGO SERIKALINI WAPEWA NYUMBA NA WAGENI”
Post a Comment