Thursday, May 29, 2014
KITUO CHA MABASI MWENGE KUHAMISHIWA MAKUMBUSHO
Do you like this story?
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi
kavu na Majini (SUMATRA) wamegiza kuwa kuanzia Juni 2, 2014, kituo cha Mwenge
kitafungwa na daladala zote zinazotumia kituo hicho zitahamia kituo cha
Makumbusho.
Daladala zote zinazoishia Mwenge
zitakuwa zinashusha abiria kituo cha Makumbusho. Na daladala zinazokwenda
maeneo mbalimbali kupitia Mwenge hazitoruhusiwa kusimama kituoni hapo na
kushusha au kupandisha abiria. Zote zitapaswa kufika kituo cha Makumbusho.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “KITUO CHA MABASI MWENGE KUHAMISHIWA MAKUMBUSHO ”
Post a Comment