Thursday, May 29, 2014
MMILIKI WA MANCHESTER UNITED AFARIKI DUNIA.
Do you like this story?
MMILIKI wa timu ya Manchester United,
Malcolm Glazer, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85. Amefariki akiwa
nyumbani kwake Marekani.
Glazer aliinunua klabu hiyo mwaka 2005
kwa pauni milioni 790 sawa na shilingi trioni 2.2 na akashuhudia timu hiyo ikipata
mafanikio kadhaa ikiwemo kutwaa Kombe la Klabu Bingwa Ulaya na ya Ligi Kuu ya
England.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MMILIKI WA MANCHESTER UNITED AFARIKI DUNIA.”
Post a Comment