Friday, May 16, 2014
MILIPUKO MIWILI YATOKEA,GIKOMBA,NAIROBI.
Do you like this story?
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kwamba milipuko miwili imetokea
karibu na Soko kubwa la nguo la Gikomba mjini Nairobi.
Milipuko
ya leo imetokea siku moja baada ya Uingereza kutoa onyo kwa raia wake wanaoishi
nchini humo kurejea makwao kwa hofu ya usalama na pia baada ya tahadhari
kutolewa ya kutokea kwa mashambulizi ya kigaidi nchini humo.
Gikombaa
ni soko kubwa la kuuza nguo ambalo linapakana na mtaa wa Eastleigh ambako
wasomali wengi wanaishi na kufanya kazi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MILIPUKO MIWILI YATOKEA,GIKOMBA,NAIROBI.”
Post a Comment