Tuesday, June 3, 2014
BIBI WA MTOTO NASRA AIBUKA.
Do you like this story?
Kwa kuishi katika maboksi kwa zaidi ya miaka mitatu akitarajiwa kuzikwa leo bibi mzaa mama yake asha abdallah
aliibuka jana kuomba mwili wa
marehemu ili wakazike nyumbani kwao.
Huku akiwa amefuatana na wajomba wa nasra bibi huyo
alifika katika ofisi za ustawi wa jamii
na kuomba mwili wa marehemu
ili wakazike nyumbani kwao.
Walipoulizwa walikuwa wapi siku zote wakati mtoto huyo
akiteseka na hata alipokuwa hospitali
waliamua kutoka nje ya ofisi hiyo
na baadaye kurudi na hoja
ya kutaka kuonana na ofisa ustawi wa jamii kwa mazungumzo.
Baada ya kuahirisha kuomba mwili na kumuona ofisa huyo
bibi huyo aliomba ofisi hiyo impe furs ya kuwa katika watakaohudhuria maziko hay oleo.
Wkati huo huo mwili wa nasra ambaye alifariki dunia
juzi saa saba na nusu usiku katika
hospitali ya taifa ya muhimbili akiwa katika chumba cha wagonjwa mahututi baada ya hali yake kubadilika ghafla na
madaktrari kumuwekea mashine za
kumsaidia kupumua uliwasili jana mkoani
hapa kutoka dare s salaam hadi morogoro.
Mwili wa mtoto huyo ulipelekwa moja kwa moja katika
chumba cha kuhifadhia maiti katika hospitali ya mkoa na leo saa moja asubuhi utapelekwa katika msikiti mkuu wa mkoa wa morogoro kwa sala na baadaye
katika uwanja wa jamhuri kwa ajili y a kuuaga
kabla ya kwenda katika makaburi
ya kola kwa ajili ya maziko.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “BIBI WA MTOTO NASRA AIBUKA.”
Post a Comment