Friday, October 17, 2014
MKURUGENZI WA JIJI LA MBEYA AFUNGUA MAFUNZO MAFUNZO YA CHANJO MBEYA.
Do you like this story?
Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya Bw Musa Zungiza akifungua mafunzo ya Chanjo. |
Mganga Mkuu wa jiji la Mbeya Dkt
Samuel Lazaro akitoa nasaha kwa washiriki wa semina hiyo katika ukumbi wa
kanisa Kathoriki jijini
|
KAMPENI HIYO YA UTOAJI WA CHANJO YA SURUA-RUBELLA ITAHUSISHA
WATOTO WENYE UMRI WA CHINI YA MIAKA 15, ITAKAYOANZA TAREHE 18 HADI 24
OCTOBA, 2014 KWENYE VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA, SHULENI NA VILE
VITAKAVYOANDALIWA NA HALMASHAURI HUSIKA.
PAMOJA NA
CHANJO HII, WATOTO PIA WATAPATA CHANJO YA POLIO, MATONE YA VITAMINI A PAMOJA NA
DAWA ZA MINYOO.
CHANJO HII
NI SALAMA NA ITAMKINGA MTOTO DHIDI YA MAGONJWA YA SURUA NA RUBELLA NA MADHARA
YAKE.
CHANJO
HIZI ZITATOLEWA BILA MALIPO. EWE BABA, MAMA, MLEZI HAKIKISHA MTOTO WAKO ANAPATA
CHANJO.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MKURUGENZI WA JIJI LA MBEYA AFUNGUA MAFUNZO MAFUNZO YA CHANJO MBEYA.”
Post a Comment