Saturday, December 19, 2015
RATIBA YA MECHI ZOTE ZA VPL JUMAMOSI DECEMBER 19
Do you like this story?
Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara inaendelea
tena leo kwa michezo sita kupigwa kwenye viwanja vya miji sita tofauti
ikishuhudia timu 12 zikishuka uwanjani kusaka pointi tatu muhi kwa ajili ya
kujiimarisha kwenye msimamo wa ligi hiyo ambayo imeanza kushika kasi tena baada
ya kusimama kwa muda.
Hii hapa ni ratiba kamili ya michezo yote
itakayopigwa December 19, 2015 kwenye viwanja sita vya mikoa tofauti;
Yanga vs Stand United (Uwanja wa Taifa-Dar es
Salaam)
Mwadui FC vs Ndanda FC (Mwadui
Complex-Shinyanga)
Kagera Sugar vs African Sports (Ali Hassan
Mwinyi-Tabora)
Tanzania Prisons vs Mtibwa Sugar (Sokoine
Stadium-Mbeya)
Toto Africans vs Simba SC (CCM
Kirumba-Mwanza)
Majimaji FC vs Azam FC (Majimaji Stadium-Ruvuma)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
.gif)


0 Responses to “RATIBA YA MECHI ZOTE ZA VPL JUMAMOSI DECEMBER 19”
Post a Comment