Friday, November 4, 2016
Model wa Nyimbo ya Salome akanusha habari zilizosambaa juu ya kifo chake
Do you like this story?
Baada
ya habari za kifo cha model wa kibao kinachoendelea kufanya vizuri katika
tasnia ya mziki Tanzania (Salome) ulioimbwa na Diamond Plutnumz na Rayvanny
kuwa amepoteza maisha kufuatia kutekwa, kubakwa na kuuliwa kisha mwili wake
kutupwa mtaroni.
Model
huyo kupitia kipindi cha XXL katika kituo cha redio cha Clouds FM amekanusha
taarifa hizo na kusema sio za kweli kwani hata jina linalosambaa mitandaoni ni Juliana
wakati yeye jina lake halisi ni Liliani. Akiongea na watangazaji wa kituo hicho
alisema kuwa ameshtushwa sana na habari hizo kwani hamafahamu hata mtu
aliyekutwa ana mkasa huo.
![]() |
| Juliana Mdada ambaye amefariki na kufananishwa na Lilian Model wa nyimbo ya Salome |
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
.gif)


0 Responses to “Model wa Nyimbo ya Salome akanusha habari zilizosambaa juu ya kifo chake ”
Post a Comment