Wednesday, June 11, 2014
MASHABIKI WATATU WAVAMIA KAMBI ENGLAND.
Do you like this story?
RIO DE JANEIRO, BRAZIL
mashabiki watatu wa England walifanikiwa kupenda na kuingia kwenye hotel iliyofikia timu hiyo jijini rio na kukutana na kocha na wachezaji
baada ya kuwaomba walinzi kwamba
wanataka kuingia chooni
Watatu hao walikunywa bia
kidogo kabla ya kukutana na steven gerrard
na wenzake na kuwaomba wapige picha
na nyota hao wa England.
Gerrard , frank lampard,
Daniel sturridge, joe hard na Leighton baines wote walikubali kupiga picha
hizo za kumbukumbu za kombe la dunia baada ya mazungumzo
marafiki hao watatu walishangilia kwa kunywa bia na kula chakula na kuondoka
wakitumia mlango wa mbele ya hotel hiyo.
Mmoja wao alisema nilipojua
kikosi cha England kimewasili rio nilitoka kitandani na kuanza akutafuta
walipofikia tuliwapata sehemi inayoitwa royal tulip dereva tax kwanza
alitupeleka royal rio hotel lakini
tuliwakosa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MASHABIKI WATATU WAVAMIA KAMBI ENGLAND.”
Post a Comment