fahari News
Habari | Michezo | Bishara | Zabuni
Home
BIASHARA
KITAIFA
KIMATAIFA
USA
AFRIKA
AFRIKA MASHARIKI
MICHEZO
MUZIKI
SIASA
Recommended:
Perfect Social Media Marketing Stratergy For Your Business
Like
Wednesday, November 26, 2014
AJALI YA MOTO ILIYOCHOMA MALORI 60 NA KUJERUHI VIBAYA
Tweet
Share
Do you like this story?
Magari makubwa yakiwaka moto baada ya moto huo kuzuka maeneo ya Kasumbalesa, mpakani mwa Zambia na Kongo.
Picha tofauti juu zikionesha baadhi ya majeruhi wa ajali hiyo ya moto.
AJALI mbaya ya moto imetokea jana majira ya saa kumina moja jioni maeneo ya Kasumbalesa, mpakani mwa Zambia na Kongo baada ya lorimoja kulipuka kwa moto na kuchoma malori mengine yaliyokuwa jirani yake.Inadaiwa magari mengi yameungua yakiwemo kutoka Tanzania japo idadi kamili yamaafa yaliyotokana na ajali hiyo bado hayajafahamika.
0 Responses to “AJALI YA MOTO ILIYOCHOMA MALORI 60 NA KUJERUHI VIBAYA”
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tweets by @FahariNews
More to Read
Buzz
Twitter
Facebook
RSS
Email
Must Read
Popular Posts
MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA JESHI LA POLISI.
Jeshi la Polisi Tanzania linawaita kwenye usaili vijana waliomaliza kidato cha nne mwaka 2013 na kidato cha sita mwaka 2014 ambao w...
MBUZI NA KONDOO 200 WAKATWAKATWA MAPANGA MOROGORO
Mwigulu Nchemba (katikati) akiangalia mifugo waliokatwakatwa na walinzi wa jadi kutoka Gairo. Waziri wa Mifugo na Kilimo, Mwigulu N...
ABIRIA 60 WANUSURIKA AJALI MKOANI SINGIDA
Abiria wanakadiriwa kuwa zaidi ya 60 waliokuwa wakisafiri na basi T.974 CDB aina ya scani mali ya kampuni ya Wibonela,wamenusurika k...
UMEIPATA HII KUHUSU KUWEKA PICHA YA MTOTO WAKO KWENYE MITANDAO?
Nianze kwa kukuuliza wewe mzazi; unapoweka picha ya mtoto wako kila hatua tangu akiwa mchanga hadi anaanza kutembea na kuanza shule,...
.RAIS KIKWETE AITAKA TANESCO KUWASHA MITAMBO YOTE ILI KUPATA UMEME WAKUTOSHA.
Serikali kupitia TANESCO imekamilisha miradi mitano na inatekeleza miradi mingine saba ya kufua umeme kwa kutumia nishati ...
0 Responses to “AJALI YA MOTO ILIYOCHOMA MALORI 60 NA KUJERUHI VIBAYA”
Post a Comment