Friday, November 14, 2014
.MIILI YA WATOTO WADOGO YAOKOTWA BAHARI YA HINDI JIJINI DAR
Do you like this story?
Taarifa ambayo
imetolewa kwenye kipindi cha XXL na kwenye akaunti ya Facebook ya Clouds FM
inasema kuwa kuna miili ya watoto wadogo imeokotwa kwenye pwani ya bahari ya
Hindi Msasani kwenye maeneo ya karibu na Baraka Plaza.
Miili ya watoto hawa
ambao wanaonekana kufanana, wanakadiriwa kuwa na umri wa miaka 10 ambapo
shuhuda wa tukio hilo amesema kuwa Polisi walifika na kuichukua miili hiyo
wakati wa mchana.
Watu walioiona
walisogea mpaka Mbalamwezi Beach na kuomba simu ipigwe Polisi kwa hiyo tukio
hili halikutokea Mbalamwezi beach wala miili hii haikuokotwa kwenye eneo hili.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “.MIILI YA WATOTO WADOGO YAOKOTWA BAHARI YA HINDI JIJINI DAR ”
Post a Comment