Friday, December 19, 2014
ANGALIA VIDEO JINSI WABUNGE WALIVYOCHAPANA MAKONDE HUKO KENYA
Do you like this story?
Kikao cha Bunge la
Kenya kilisimama kwa takribani dakika 30 kutokana na kutofautiana kwa Wabunge
hao kuhusiana na msimamo wao kutofautiana wakati wakiendelea na mjadala
unaohusu mabadiliko ya Sheria ya Usalama wa Nchi hiyo kutokana na kukabiliwa na
changamoto mbalimbali kwenye masuala ya Usalama.
Wabunge wa upinzani
walipinga muswada huo kwa kutupa karatasi chini, Bunge likaahirishwa ambapo
hali ya hewa ilikuwa mbaya na baadaye Wabunge hao kupigana, wengine
wakichaniana nguo na hata kuumizana.
Wabunge wa Upinzani
waligomea muswada huo na kuanza kuimba, Bunge hilo likasitishwa.
Nimekurekodia sauti
wakati habari hiyo ikiripotiwa na kituo cha WBS unaweza kubonyeza play kuisikiliza, pia kuna video
kutoka K24 ambayo unaweza kuitazama hapa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “ANGALIA VIDEO JINSI WABUNGE WALIVYOCHAPANA MAKONDE HUKO KENYA ”
Post a Comment