Thursday, October 15, 2015
RATIBA YOTE YA MSIBA WA MAREHEMU ABDALLAH KIGODA.
Do you like this story?
RATIBA YA MSIBA WA MAREHEMU MHE. DKT
ABDALLAH OMARY KIGODA (MB) WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA TAREHE 13 - 15 OKTOBA,
2015.
JUMATANO TAREHE 14 OKTOBA, 2015
NYUMBANI KWA MAREHEMU – UPANGA
Muda
|
Tukio
|
Mhusika
|
Saa
1.00 – 2.00Asubuhi
|
Chai
|
Wote
Mshereheshaji
|
Saa
6.00 – 7.00 Mchana
|
Chakula
cha Mchana
|
Wanafamilia
na Waombolezaji
|
Saa
8.30 – 9.00 Mchana
|
Viongozi
na Waombolezaji kuwasili JNIA Termibal I
|
Viongozi/Waombolezaji
|
Saa
9.00– 9.30Asubuhi
|
Mwili
wa Marehemu kuwasili Uwanja wa Ndege Terminal I.
|
Kamati
ya Kupokea Mwili Dar/ Familia ya Marehemu
|
Saa
10.30.Jioni
|
Safari
kuelekea Hospitali ya Lugalo
|
Waombolezaji
|
ALHAMIS,
TAREHE 15 OKTOBA, 2015 - VIWANJA VYA KARIMJEE
|
||
Saa
12.00 Asubuhi
|
Mwili
kuchukuliwa Hospitali ya Lugalo na kupelekwa Msikitini Upanga
|
Kamati
ya Mazishi na Wanandugu
|
Saa1.30
- 1.50 Asubuhi
|
Waombolezaji
kuwasili katika Viwanja vya Karimjee
|
Kamati
ya Mazishi
|
Saa
1.10-2.00 Asubuhi
|
Mawaziri/Naibu
Mawaziri /Watendaji Wakuu wa Wizara na Taasisi mbalimbali kuwasili katika
Viwanja vya Karimjee
|
Kamati
ya Mazishi
|
Saa
2.00 – 2.15 Asubuhi
|
Viongozi
Wakuu wa Serikali kuwasili
|
Kamati
ya Mazishi na Mshehereshaji
|
Saa
2.15 – 2.25 Asaubuhi
|
Mwili
wa Marehemu kuwasili viwanja vya Karimjee
|
Kamati
ya Mazishi na Mshehereshaji
|
Saa
2.25 –2.35 Asubuhi
|
Wasifu
wa Marehemu kusomwa
|
Katibu
Mkuu – Wizara ya Viwanda na Biashara
|
Saa
2.35 – 3.15 Asubuhi
|
Salama
za Makundi mbalimbali
· Salamu kutoka
Makundi mbalimbali
· Salamu kutoka
Mwakilishi wa Chama Tawala
· Salamu kutoka kwa
Spika
Salamu
za Serikali
|
Makundi
mengine mbalimbali
|
Saa
3.15 – 3.25
|
Viongozi
wa Kitaifa kuondoka
|
Kamati
ya Mazishi
|
Saa
3.30
|
Mwili
wa marehemu kuondoka Dar es salaam kuelekea Handeni Tanga
|
Kamati
ya Mazishi
|
NYUMBANI
HANDENI TANGA
|
||
Saa
5.00 Asubuhi – 7.00 Mchana
|
Waombolezaji
kuwasili nyumbani kwa marehemu Handeni Tanga
|
Kamati
ya Mazishi
|
Saa
7.00 – 7.25 Mchana
|
Viongozi
mbalimbali kuwasili nyumbani kwa marehemu
|
Kamati
ya mazishi
|
Saa
7. 30
|
Mwili
wa Marehe kuwasili nyumbani kwa marehemu Handeni
|
Kamati
ya mazishi
|
Saa
8.00 – 9.00 mchana
|
Chakula
cha mchana
|
Kamati
ya mazishi
|
Saa
9.00 – 9.10
|
Wasifu
wa Marehemu kusomwa
|
Katibu
Mkuu – Wizara ya Viwanda na Biashara
|
Saa
9.10 – 10.00
|
Salama
za Makundi mbalimbali
· Salamu kutoka
Makundi mbalimbali
· Salamu kutoka
Mwakilishi wa Chama Tawala
· Salamu kutoka kwa
Spika
· Salamu za Serikali
|
Makundi
mengine mbalimbali
|
Saa
10.00 – 10.10 Jioni
|
Sala
ya Maiti
|
Sheikh/Imam
|
Saa
10.10 – 10.30 Jioni
|
Mazishi
na Nasaha
|
Sheikh/Imam
|
Saa
10.30-10.35 Jioni
|
Neno
la Shukrani
|
Msemaji
wa Familia
|
Saa
10.35-10.45 Jioni
|
Viongozi
Kuondoka
|
Kamati
ya Mazishi
|
Saa
10.45 Alasiri
|
Waombolezaji
kuondoka makaburini
|
Wote
|
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “ RATIBA YOTE YA MSIBA WA MAREHEMU ABDALLAH KIGODA.”
Post a Comment