Thursday, October 15, 2015

RATIBA YOTE YA MSIBA WA MAREHEMU ABDALLAH KIGODA.





RATIBA YA MSIBA WA MAREHEMU MHE. DKT ABDALLAH OMARY KIGODA (MB) WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA TAREHE 13 - 15 OKTOBA, 2015.

JUMATANO TAREHE 14 OKTOBA, 2015
NYUMBANI KWA MAREHEMU – UPANGA




Muda
Tukio
Mhusika
Saa 1.00 – 2.00Asubuhi
Chai
Wote
Mshereheshaji
Saa 6.00 – 7.00 Mchana
Chakula cha Mchana
Wanafamilia na Waombolezaji
Saa 8.30 – 9.00 Mchana
Viongozi na Waombolezaji kuwasili JNIA Termibal I
Viongozi/Waombolezaji
Saa 9.00– 9.30Asubuhi
Mwili wa Marehemu kuwasili Uwanja wa Ndege Terminal I. 
Kamati ya Kupokea Mwili Dar/ Familia ya Marehemu
Saa 10.30.Jioni
Safari kuelekea Hospitali ya Lugalo  
Waombolezaji
ALHAMIS, TAREHE 15 OKTOBA, 2015 - VIWANJA VYA KARIMJEE
Saa 12.00 Asubuhi
Mwili kuchukuliwa Hospitali ya Lugalo na kupelekwa Msikitini Upanga

Kamati ya Mazishi na Wanandugu
Saa1.30 - 1.50 Asubuhi
Waombolezaji kuwasili katika Viwanja vya Karimjee

Kamati ya Mazishi
Saa 1.10-2.00 Asubuhi
Mawaziri/Naibu Mawaziri /Watendaji Wakuu wa Wizara na Taasisi mbalimbali kuwasili katika Viwanja vya Karimjee
Kamati ya Mazishi
Saa 2.00 – 2.15 Asubuhi
Viongozi Wakuu wa Serikali kuwasili
Kamati ya Mazishi na Mshehereshaji
Saa 2.15 – 2.25 Asaubuhi
Mwili wa Marehemu kuwasili viwanja vya Karimjee
Kamati ya Mazishi na Mshehereshaji
Saa 2.25 –2.35 Asubuhi
Wasifu wa Marehemu kusomwa
Katibu Mkuu – Wizara ya Viwanda na Biashara
Saa 2.35 – 3.15 Asubuhi
Salama za Makundi mbalimbali

·   Salamu kutoka Makundi mbalimbali
·   Salamu kutoka Mwakilishi wa Chama Tawala
·   Salamu kutoka kwa Spika
Salamu za Serikali
Makundi mengine mbalimbali
Saa 3.15 – 3.25
Viongozi wa Kitaifa kuondoka
Kamati ya Mazishi
Saa 3.30
Mwili wa marehemu kuondoka Dar es salaam kuelekea Handeni Tanga
Kamati ya Mazishi
NYUMBANI HANDENI TANGA
Saa 5.00  Asubuhi – 7.00 Mchana
Waombolezaji kuwasili nyumbani kwa marehemu Handeni Tanga
Kamati ya Mazishi
Saa 7.00 – 7.25 Mchana
Viongozi mbalimbali kuwasili nyumbani kwa marehemu
Kamati ya mazishi
Saa 7. 30
Mwili wa Marehe kuwasili nyumbani kwa marehemu Handeni
Kamati ya mazishi
Saa 8.00 – 9.00 mchana
Chakula cha mchana
Kamati ya mazishi
Saa 9.00 – 9.10
Wasifu wa Marehemu kusomwa
Katibu Mkuu – Wizara ya Viwanda na Biashara
Saa 9.10 – 10.00
Salama za Makundi mbalimbali

·   Salamu kutoka Makundi mbalimbali
·   Salamu kutoka Mwakilishi wa Chama Tawala
·   Salamu kutoka kwa Spika
·   Salamu za Serikali
Makundi mengine mbalimbali
Saa 10.00 – 10.10 Jioni 
Sala ya Maiti
Sheikh/Imam
Saa 10.10 – 10.30 Jioni
Mazishi na Nasaha
Sheikh/Imam

Saa 10.30-10.35 Jioni
Neno la Shukrani
Msemaji wa Familia
Saa 10.35-10.45 Jioni
Viongozi Kuondoka
Kamati ya Mazishi

Saa 10.45 Alasiri

Waombolezaji kuondoka makaburini

Wote




0 Responses to “ RATIBA YOTE YA MSIBA WA MAREHEMU ABDALLAH KIGODA.”

Post a Comment

More to Read