Thursday, October 15, 2015
TAARIFA KUHUSU MKUU WA MAJESHI DAVIS MWAMUNYANGE FAMILIA WAFUNGUKA.
Do you like this story?
Familiaa
ya Mkuu wa Majeshi General Davis Mwamunyange imetoa kauli mara
baada ya sitofahamu inayoendelea Mitandaoni Kuhusu Mkuu huyo wa Majeshi,Familia
ya CDF Mwamunyange: Yupo nje ya nchi kwa majukumu ya
Kitaifa.Akizungumza kwa Niaba ya Familia Kaka Yake Davis Mwamunyange
aamethibitisha Mdogo wake anaendelea na Majukumu yake yupo Nje ya Nchi
na Anatarajiwa Kurudi Nchini siku za Karibuni
Ni baada ya taarifa kuzagaa mitandaoni juu ya kulishwa sumu kwa mkuu huyo.
Familia imesema anaendelea vizuri na yupo nje ya nchi kwa majukumu ya kitaifa.
Chanzo: Kaka wa Jenerali Davis Mwamunyange.
CHANZO ITV
baada ya sitofahamu inayoendelea Mitandaoni Kuhusu Mkuu huyo wa Majeshi,Familia
ya CDF Mwamunyange: Yupo nje ya nchi kwa majukumu ya
Kitaifa.Akizungumza kwa Niaba ya Familia Kaka Yake Davis Mwamunyange
aamethibitisha Mdogo wake anaendelea na Majukumu yake yupo Nje ya Nchi
na Anatarajiwa Kurudi Nchini siku za Karibuni
Ni baada ya taarifa kuzagaa mitandaoni juu ya kulishwa sumu kwa mkuu huyo.
Familia imesema anaendelea vizuri na yupo nje ya nchi kwa majukumu ya kitaifa.
Chanzo: Kaka wa Jenerali Davis Mwamunyange.
CHANZO ITV
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “TAARIFA KUHUSU MKUU WA MAJESHI DAVIS MWAMUNYANGE FAMILIA WAFUNGUKA.”
Post a Comment