Wednesday, September 7, 2016
ALIYEFANYIWA UPANDIKIZAJI WA KWANZA WA USO AFARIKI
Do you like this story?
Madaktari nchini Ufaransa wamefichua
kwamba mwanamke aliyefanyiwa upasuaji wa kwanza wa upandikizaji wa sura
alifariki mapema mwaka huu.
Hospitali moja imesema kuwa Isabelle
Dinoire alifariki baada ya matatizo yanayohusishwa na upasuaji huo.
Alifanyiwa upasuaji huo uliochukua
saa 15 mwaka 2005 baada ya kujeruhiwa na mbwa.
Madaktari waliutengeza mdomo wake,pua
na taya katika upasuaji huo wa kwanza kuwahi kufanyika.
Isabelle si mwanamke wa kwanza
kubadilisha sura yake, msanii wa mziki wa Hip Hop nchini Marekani Lil Kim pia
alifanya upandikizaji wa sura na kubadili muonekano wake jambo ambalo
liliwashangaza mashabiki wengi baada ya kupost muonekano wake mpya katika
ukurasa wake wa Instagram.
“Tunamkumbuka” Michael Jackson (Black
Amerika) Msanii wa Pop aliepata umaarufu
Mkubwa Duniani pia alifanya upandikizaji wa pua na
uso wake nakufanya kubadilika kabisa muonekano wake na kuonekana kama mzungu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


.gif)


0 Responses to “ALIYEFANYIWA UPANDIKIZAJI WA KWANZA WA USO AFARIKI”
Post a Comment