Monday, September 12, 2016
WAFUNGAJI 10 BORA WA LIGI KUU TANZANIA BARA NA MECHI WALIZOCHEKA NA NYAVU.
Do you like this story?
![]() |
| Laudit Mavugo |
MSHAMBULIAJI
wa Azam FC na Timu ya Taifa ya Soka ya Tanzania, Taifa Stars, John Raphael
Bocco ndiye kinara wa ufungaji wa mabao ligi kuu soka Tanzania Bara mpaka sasa.
Bocco
amezamisha kambani mabao matatu katika mechi nne alizocheza, akifuatiwa na
Laudit Mavugo alifunga matatu pia kwenye michezo minne aliyokipiga na timu yake
ya Simba, lakini Bocco anakuwa juu yake kwasababu ya Tofauti ya Alphabeti
ya mwanzo.
WAFUNGAJI 10 BORA
|
NA
|
JINA
|
TIMU
|
IDADI YA MAGOLI
|
MECHI ALIZOFUNGA
|
|
1
|
John Bocco
|
Azam FC
|
3
|
Azam 1-1 African
Lyon-Bao Moja
Azam FC 3-0 Maji
Maji-Mabao mawili.
|
|
2
|
Laudit Mavugo
|
Simba SC
|
3
|
Simba 3-1 Ndanda-Goli
Moja
Simba 2-1 Ruvu
Shooting-Bao Moja
Simba 2-0 Mtibwa
Sugar-Bao Moja.
|
|
3
|
Raphael Alpha
|
Mbeya City FC
|
3
|
Mbao 1-4 Mbeya
City-Mabao mawili
Mbeya City 1-2
Azam-Goli Moja
|
|
4
|
Abdulrahman Mussa
|
Ruvu Shooting
|
2
|
Simba 2-1 Ruvu
Shooting-Goli moja
Ruvu Shooting 1-0 JKT
Ruvu-Bao moja.
|
|
5
|
Amissi Tambwe
|
Yanga SC
|
2
|
Yanga 3-0 Maji
Maji-Magoli mawili
|
|
6
|
Deus Kaseke
|
Yanga SC
|
2
|
Yanga 3-1 African
Lyon-Bao Moja
Yanga 3-0 Maji
Maji-Goli moja
|
|
7
|
Ibrahim
Hajib
|
Simba SC
|
2
|
Simba 2-1 Ruvu
Shooting-Bao moja
Simba 2-0 Mtibwa
Sugar-Bao moja
|
|
8
|
Rashid Mandawa
|
Mtibwa Sugar
|
2
|
Mtibwa Sugar 2-1 Ndanda
FC-Bao moja
Maji Maji 1-2 Mtibwa
Sugar-Bao Moja
|
|
9
|
Abdallah Seseme
|
Mwadui
|
1
|
Mbao 0-1 Mwadui-Bao
moja
|
|
10
|
Adam Kingwande
|
Stand United
|
1
|
Stand United 1-0 Toto
African-Bao moja
|
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


.gif)



0 Responses to “WAFUNGAJI 10 BORA WA LIGI KUU TANZANIA BARA NA MECHI WALIZOCHEKA NA NYAVU.”
Post a Comment