Monday, March 24, 2014
TAZAMA PICHA ZA MATUKIO TOFAUTI TOFAUTI KATIKA ZIARA YA RAIS KIKWETE MKOANI TANGA, ALIVYOZINDUA BWAWA LA MAJI MKATA HANDENI.
Do you like this story?
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua baadhi ya madume bora ya ng’ombe na kisha kuwakabidhi baadhi ya wafugaji katika kijiji cha Msomela wilayni Handeni leo. |
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza mmoja wa wafugaji mwenye asili ya kimasai bwana Shayo Lahoda aliyegawiwa dume bora la ng’ombe katika kijiji cha Msomela wilayani handeni leo |
|
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na ngoma za utamaduni baada ya kuzindua Bwawa la Maji la Mkata wilayani Handeni leo |
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “TAZAMA PICHA ZA MATUKIO TOFAUTI TOFAUTI KATIKA ZIARA YA RAIS KIKWETE MKOANI TANGA, ALIVYOZINDUA BWAWA LA MAJI MKATA HANDENI.”
Post a Comment