Monday, March 24, 2014
USHAMBA ULITUFANYA TUSHINDWE KUCHANGIA.
Do you like this story?
Mjumbe wa bung la katiba
elias masamaki amesema wajumbe 201 walioteuliwa na rais walipata ugumu kuchangia mjadala bungeni kwa sababu hawakujua lugha za kibunge ikiwamo miongozo na taarifa.
Masamaki ambaye
anatokea kundi la watu wenye ulemavu aliomba
akisema: “mara taarifa na wakati mwingine mwongozo sisi wengine hatujazoea kutumia maneno hayo jambo ambalo linatufanya wakati mwingine kushindwa kuelewa
tuingizie wapi maneno haya alisema
masamaki.
Hata hivyo amesema kadri
wanavyoendelea kuhudhuria vikao vya bunge hilo ndivyo wanavyozidi kuelewa jinsi ya kutuma maeneno hayo katika kuomba nafasi za kuchangia.
Wajumbe wanaounda bunge
hilo lilianza kazi ya kupitia rasimu ya
pili ya katiba February 18 mwaka huu ni pamoja na wajumbe wa baraza la
wawakilishi Zanzibar wabunge hao
wa bunge wa bunge la jamhuri wa
Tanzania na kundi la wajumbe 201
walioteuliwa na rais kutoka makundi
mbalimbali
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “USHAMBA ULITUFANYA TUSHINDWE KUCHANGIA.”
Post a Comment