Wednesday, April 30, 2014

SAFISHA JIJI YAENDELEA LEO KARIAKOO JIJINI DAR.



 Tingatinga la Manispaa ya Ilala likibomoa vibanda vilivyojengwa maeneo yasiyoruhusiwa Kariakoo katika operesheni safisha jiji iliyofanyika Dar es Salaam, mitaa ya Aggrey na Livingstone.

Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), wakiimarisha ulinzi wakati wa oparesheni hiyo.

0 Responses to “SAFISHA JIJI YAENDELEA LEO KARIAKOO JIJINI DAR.”

Post a Comment

More to Read