Thursday, September 25, 2014
TAZAMA PICHA UNAAMBIWA HAWA NDIYO WATOTO WA MARAISI WA AFRIKA AMBAO NI WAREMBO KUPINDUKIA
Do you like this story?
![]() |
AngePaul Kagame |
![]() |
Nyepudzayi Bona Mugabe |
![]() |
Faith Sakwe Jonathan |
Diana Karuguire Museven |
![]() |
Ngina Uhuru Kenyatta |
Ana miaka 24. Ni binti
wa Rais wa Zimbabwe, Robert Gabriel Mugabe. Ni binti aliyetikisa mitandaoni
kutokana na mambombalimbali ya kijamii. Amefunga ndoa hivi karibuni
Sifa Joseph Kabila
Amezaliwa mwaka 2001,
baba yake ni Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Joseph Kabila. Anatajwa
kuwa binti mtulivu na msikivu.
Mwaka huu amekamata wa 23, baba
yake ni Rais wa Kenya, Uhuru Jomo Kenyatta. Mitandao inamtaja kwamba ana mvuto,
pia anaongoza kwa kuwa na marafiki wengi wa kike.
Stella Mutale Sata
Baba yake ni Rais wa Zambia, Mutale Sata.
Binti mwenyewe yupo poa sana kwa sasa ana miaka 20 tu.
Ni binti wa Rais wa Uganda, Joel Kaguta
Museven. Amefunga ndoa. Mitandao inamtaja ni binti aliyetulia ndiyo maana
akapigwa jicho na mwanaume na kufunga ndoa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “TAZAMA PICHA UNAAMBIWA HAWA NDIYO WATOTO WA MARAISI WA AFRIKA AMBAO NI WAREMBO KUPINDUKIA”
Post a Comment