Saturday, October 29, 2016

MBEYA CITY YATAMBA NYUMBANI MARA BAADA YA KUICHALAZA MAJIMAJI 3-2


Kikosi cha Mbeya City

Kikosi cha Majimaji


Raphael Daudi  akishangilia Goli mnamo Dakika ya 8 mara Baada ya kupata penati zidi ya Majimaji katika Uwanja wa Sokoine Mbeya.(Picha na David Nyembe wa Fhari News Mbeya)

Ditram Nchimbi katikati akishangilia goli alilofunga mnamo dakika28 kipindi cha kwanza.


Stairi ya Mbeya City mara Baada ya kupata Goli.


0 Responses to “MBEYA CITY YATAMBA NYUMBANI MARA BAADA YA KUICHALAZA MAJIMAJI 3-2”

Post a Comment

More to Read