Sunday, November 6, 2016

DC KASESELA AKABIDHI MRADI WA MAJI KWA WANAKIJIJI LUPALAMA WENYE THAMANI YA MILL 35




Mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela akimtwisha Ndoo ya Maji Bi.Theobadina Ngailo Mara baada ya kukabidhi Mradi wa Maji katika kijiji cha Lupalama Jimbo la Kalenga uliogharimu kiasi cha Mill.35 na kufadhiliwa na Shirika la E.P.I.C (Everyday People Initiate Changes) la Marekani

Mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela akikata utepe katika uzinduzi wa Bomba la maji katika kijiji cha Lupalama kulia kwake ni  Johnson Kisinda mwakilishi  Shirika la E.P.I.C hapa Nchini Tanzania, Kushoto ni Diwania wa  kata ya Lupalama.

0 Responses to “DC KASESELA AKABIDHI MRADI WA MAJI KWA WANAKIJIJI LUPALAMA WENYE THAMANI YA MILL 35”

Post a Comment

More to Read