Mkuu
wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela akimtwisha Ndoo ya Maji
Bi.Theobadina Ngailo Mara baada ya kukabidhi Mradi wa Maji katika kijiji
cha Lupalama Jimbo la Kalenga uliogharimu kiasi cha Mill.35 na
kufadhiliwa na Shirika la E.P.I.C (Everyday People Initiate Changes) la Marekani
Mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela akikata utepe
katika uzinduzi wa Bomba la maji katika kijiji cha Lupalama kulia kwake ni Johnson Kisinda mwakilishi Shirika la E.P.I.C hapa Nchini Tanzania, Kushoto ni Diwania wa kata ya Lupalama.
0 Responses to “DC KASESELA AKABIDHI MRADI WA MAJI KWA WANAKIJIJI LUPALAMA WENYE THAMANI YA MILL 35”
0 Responses to “DC KASESELA AKABIDHI MRADI WA MAJI KWA WANAKIJIJI LUPALAMA WENYE THAMANI YA MILL 35”
Post a Comment