Wednesday, March 19, 2014
MARIDHIANO YAMRUHUSU WARIOBA KUHUTUBIA.
Do you like this story?
Mtafaruku ulioibuka juzi bugeni na kusababisha kusitishwa kwa
kikao bila mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba jaji joseph warioba
kuwasilisha rasimu ya kativa ulihitimishwa kwa maridhiano baada ya mwenyekiti wa bunge maalum la katiba
Samuel sitta kukutana na viongozi wa umoja wa katiba ya watanzania (ukawa) juzi usiku.
Baada ya maridhiano hayo
sitta aliliambia bunge jana kwamba alilazimika kufuta baadhi ya semina za
masuala ya uelewa kuhusu muungano ambao zipaswa kufanyika na kubakiwa na moja
tu ya kupata uzoefu wa Kenya ambayo itatolewa kesho na magwiji wa katiba wan
chi hiyo ikiwamo aliyekuwa mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya kativa nchi hiyo
amos wako.
Juzi baadhi ya wajumbe wa
bunge hilo walimzuia jaji warioba kwa makelele kugonga meza wakidai kuw sitta
alikuwa amekiuka kanini kwa kumwalika warioba kuwasilisha rasimu ya katiba
kabla ya Rais Kikwete kulifungua bunge.
Pia walidai kuw kulikuwa
na semina zilizokuwa zimeandaliwa kinyume na kanini ambazo zingewezesha kuigizwa
misimamo ya baadhi ya vyana na
kwamba jaji warioba alikuwa amepangiwa muda mfupi kinyume na ukubwa wa kazi
aliyokuwa nayo . awali ilipangwa kuwa
wajumbe wapate semina ya kijifunza zaidi kutoka kwa wakongwe juu ya masuala ya
muungano Na historia ya nchi mbili za tanzangika na Zanzibar.
Waliotarajiwa kutoka
semina hiyo ni ramadhani mapuri na wadil kavishe kutoka Zanzibar wakati kwa
upande wa bara walialikwa Hassan ngwilizi na profesa issa shivji.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MARIDHIANO YAMRUHUSU WARIOBA KUHUTUBIA.”
Post a Comment