Tuesday, March 18, 2014
SUTI BUNGE LA KATIBA ZAMKERA MBATIA.
Do you like this story?
Mjumbe wa bunge maalum la
katiba, James Mbatia amesema kupitisha kaninu za kuvaa suti katika bunge la
katiba ni kuiga tamaduni za nchi za magharibi.
Mbatia amesema ni muhimu
katika kufikia maamuzi kujali tamaduni zetu na siyo kuiga kila kitokacho nchi
za magharibi.
Wenzetu kule ni baridi
wakati wote hivyo kuvaa suti ni sawa. Huku
hali ya hewa na tamadunizetu ni tofauti kabisa. Amesema
Amesema ndio mana katika
rasimu ya katiba kuna vifungu vya haki za binadamu lakini lazima twende mbali
zaidi na kuanisha haki hizi amesema.
Mbatia alifafanua kuwa
watanzania wengi bado hawazifahamu haki zao hivyo ni muhimu sana kuwatetea. Amesema.
Amesema kua haki za msingi
ambazo mtu amezaliwa nazo na hizo hazipaswi kuvunjwa. Haki nyingine zinaendelea
na mazungira yetu ambazo tunapaswa kuzitetea.
Mimi katika masuala haya
ya utetezi nin zaidi ya miaka 24 najua jinsi dola inavyovunja haki za bianadamu
nimewahi kufukuzwa chuo kikuu dare s
salaam mwaka 1990 kwa kutofautiana mitazamo tu
na wengine.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “SUTI BUNGE LA KATIBA ZAMKERA MBATIA.”
Post a Comment