Monday, March 31, 2014
TFF TUNAHITAJI MAKOCHA WA TIMU ZA TAIFA.
Do you like this story?
Mwishoni mwa mwezi Februari, Shirikisho la
Soka Tanzania (TFF) lilivunja mkataba na kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen na
kukikabidhi kikosi cha Stars kwa muda chini ya mMkurugenzi wa uUfundi wa TFF,
Salum Madadi akisaidiwa na kocha Hafidh Badru kutoka Zanzibar.
Kabla ya kuwa kocha wa Taifa Stars, kocha Kim
Poulsen alikuwa anafundisha ni kocha wa timu za Taifa za vijana walio na umri
enye umri chini ya miaka 20 na 1717 (Serengeti Boys) na chini ya miaka 20
(Ngorongoro Heroes), ambazpo aliweza kuibua wachezaji wengi nyota ambao baadaye
aliwajumuisha katika kikosi cha Taifa Stars.
Baadhi ya wachezaji aliowaibua pamoja na
kocha Kim ni Frank Domayo, Simon Msuva, Ramadhan Singano, Edward Christopher,
Idrissa Rashid na wengine wengi.
Lakini baada ya kumalizika kwa mkataba wa
kocha wa vijana, Jacob Michelsen, TFF haikumuongezea mkataba kwa kuwa hakuweza
kufanya kazi yake vizuri kama ilivyokuwa kwa Kim. TFF ilisema ingem
Pia, mwishoni mwa mwaka jana, TFF ilikataa
kumuongezea mkataba aliyekuwa kocha wa timu za Taifa za vijana, Jacob Michelsen
huku ikisema jukumu hilo inataka kumpa jukumu hilo kocha mzawa.
Baada ya TFF kuvunja mkataba na kocha Kim
iliingia katika mchakato wa kutafuta kocha mpya wa Taifa Stars ili wamkabidhi
jukumu la kuhakikisha Taifa Stars inafuzu kushiriki fFainali za Mataifa ya
Afrika 2015.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “TFF TUNAHITAJI MAKOCHA WA TIMU ZA TAIFA.”
Post a Comment