Sunday, August 14, 2016
MGOSI ASTAAFU RASMI SOKA LEO
Do you like this story?
Mgosi akiwapungia mkono mashabiki wa Simba waliofulika katika uwanja wa Taifa leo kushuhudia Mechi. |
Familia ya Mgosi Pia walikuwepo Kuona kushuhudia kustaafu kwa Mgosi leo |
Nahodha
wa Kikosi cha Simba Mussa Hassan Mgosi leo amestaafu rasmi kuichezea klabu yake
ya Simba na soka Kwa ujumla ambapo sasa anaenda kuwa meneja wa kikosi cha Simba.
Mgosi
amehitimisha safari yake ya kucheza soka leo katika mchezo wa kirafiki wa
kikataifa kati ya Simba na URA ambapo vikosi hivyo vilimaliza.mchezo wao Kwa
goli 1- 1.
Katika
tukio hilo la kuustaafu Kwa mgosi pia aliambatana na familia yake nzimw ambao
Kwa pamoja siku zote nahodha huyu mstaafu amekuwa akisifia familia yake kuwa
msaada mkubwa katika mafanikio yake ndani na nje ya uwanja.
Fahari
News inamtakia kila la kheri meneja mpya wa Kikosi cha Simba Mussa Mgosi katika
majukumu yake mapya.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “ MGOSI ASTAAFU RASMI SOKA LEO”
Post a Comment